sw_tn/mat/14/16.md

263 B

hawana haja

"watu hawana haja"

wapeni ninyi

neno "ninyi" ni la wingi linalomaanisha wanafunzi

wakamwambia

"wanafunzi wakamwambia Yesu

mikate mitano

mkate ni bonge lenye sura kama donge lililookwa

"ileteni kwangu"

"leteni mkate na samaki kwangu