sw_tn/mat/13/57.md

256 B

Aliwachukiza

watu walimkataa Yesu

Nabii hakosi kuwa na heshima isipokuwa kwao

nabii hupokea heshima kila mahli

nchini yao

"mji wa kwao"

kwao

"nyumbani kwao"

Na hakuweza kufanya miujiza mingi

"Yesu hakuweza kufanya miujiza nyumbani kwao"