sw_tn/mat/13/51.md

1.0 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaeleza ufalme wa mbinguni kwa kueleza mfano wa mtu anayewatawala watumishi wa nyumbani.Huu ni mwisho wa habari ya Yesu kuwafundisha watu kuhusu ufalme wa mbinguni kwa kutumia mifano

Mmefahamu mambo yote haya? wanafunzi walimjibu, "Ndiyo"

Yesu aliwaulizakamawalikuwa wameelewa yote haya, na walisema kwamba walielwa

amakuwa mwanafunzi wa ufalme wa mbingun

amaejifunza ukweli kuhusu Mungu wetu wa mbinguni ambaye ni mfalme.

unafananan na mwenye nyumba ataoaye katika hazina yake vitu vipya.

Yesu anafundisha mfano mwingine. Anawafananisha waandishi, ambao wanalyafahamu maandiko vizuri ambayo Musa na manabii waliandika, na ambao pia sasa wanayapokea mafundisho ya Yesu na kuyalinganisha namwenye nyumba anayetumia vitu hazina ya zamani na mpaya.

hazina

Hazina ni kitu cha thamani. Hapa panafananishwa na mahali ambapo vitu huhifadhiwa. "chumba cha kutunzia".

Ikawa Yesu alipomaliza

Kirai hiki kinatuhamishaia simulizi yetu ya mafundisho ya Yesu kwenda kile kilichotokea baadaye.