sw_tn/mat/12/11.md

696 B

Sentensi ungsnishi

Yesu anjibu hoja za Mafarisayo

Nani kati yenu, ambaye ikiwa ana kondoo mmoja ... hatamshika na kumtoa kwa nguvu ndani ya shimo?

Yesu antumia swali kuwajibu Mafarisayo. Anawapa changamoto ya kufikiri juu ya aina gani ya kazi wanayoweza kuifanya siku ya sabato. "Kila mmoja wenu, kama una kondoo mmoja ... angemshika na kumtoa kwa nguvu

Je, ni kipi chenye thamani, zaidi kwani, si zaidi ya kondoo?

Kirai "kipi chenye thamani zaidi" kinaongeza msisitizo kwenye sentensi. " ni wazi mtu ni wa thamani zaidi ya kondoo!" au "Jaribu kufiri vile mtu alivyo wa muhimu kuliko kondoo"

ni halali kutenda mema siku ya Sabato

"Wale wanofanya mema siku ya Sabato wantii sheria"