sw_tn/mat/12/05.md

654 B

Sentensi unganishi:

Yesu anaendelea kuwaitikia Mafarisayo.

bado hamjasoma katika sheria ... lakini hawana hatia

Yesu antumia swali kijbu hoja za mafarisayo. Yesu anawataka wafikirie maana yakile walichosoma katika maandiko. "And, na mmesoma katika sheria za Musa... lakini hawana hatia.

huinajisi Sabato

"kufanya katika sabato ambayo wangefanya katika siku nyingine."

hawana hatia

" Mungu hatawaadhibu" au "Mungu hatawaonea hatia"

nasema kwenu

Hiki kinaongeza msisitizo kwa kile alichosema baadaye.

aliye mkuu kuliko hekalu

" aliye wa muhimu zaidi kuliko hekalu." Yesu alikuwa anarejelea kwake yeye mwenyewe kama mmoja aliye mkuu.