sw_tn/mat/12/01.md

1.1 KiB

Maelezo kwa ujumla:

Huu ni mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi ambapo mwandishi anazungumza juu ya kukua kwa upinzani kwa huduma ya Yesu. Hapa, Mafarisaya wanawakosoa wanafunzi wa Yesu kwa kuvuna nafaka ya ngano siku ya sabato.

Wakati huo

Hii inaonyesha mwanzo mpya wa simulizi. "Baadaye kidogo"

shamba la nafaka

sehemu ya kupanda nafaka. Kama ngano haifahamiki na "nafaka" ni neno la jumla sana, basi waweza kutumia "shamba" la mazao ambayo wanatengeneza mikate."

kuvunja masuke ya nafaka na kuyala...wanajunja sheria ya sabato

Kuvuna nafaka kwenye mashamba ya wengine na kula haikuchukuliwa kuwa ni kuiba. Swali lilikuwa kama mwingine angeweza kufanya shughuli hii kisheria katika siku ya sabato.

kuyavunja masuke na kuyala

"kuchukua baadhi ya ngano na kula" au "kuchukua baadhiya mbegu za ngano na kula"

masuke ya nafaka

Hii ni shsemu ya juu ya mmea wa ngano ambayo ni aina ya jani kubwa. Hushikilia nafaka iliyokomaa au mbegu za mmea.

Mafarisayo

Hiihaimanisha mafarisayo wote. "baadhi tu ya mafarisayo"

Tazama

"angalia." Mafarisayo hutumia neno hili kupata usikifu wa kile wanafunzi wa Yesu walichokuwa wakifanya.