sw_tn/mat/11/11.md

1.5 KiB

Sentensi Unganishi:

Yesu aliendelea kuwaambia makutano juu ya Yohana Mbatizaji

Mimi nawaambia ukweli

"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye.

kati ya waliozaliwa na wanwake

Hii ni namna ya inayomaanisha watu wote. "kati ya watu wote waliopata kuishi"

Hakuna aliye mkuu kuliko Yohana mbatizaji

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. ''Yohana Mbatizaji ni mkuu zaidi" au " Yohana mbatizaji ni wa muhimu zaidi".

aliyemdogo katika ufalme wa mbinguni

Ha " ufalme wa mbinguni" unamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme. Kirai "ufalme wa mbinguni" kimetumika katika injili ya Mathayo tu. Kama inawezekana jaribu kutumia "mbinguni" unapotafsiri. "aliye mdogo kabisa katika utawala wa Mungu wetu mbinguni"

ni mkuu kuliko yeye

'' wa muhimu kuliko Yohana''

Tokea siku za Yohana Mbatizajihadi leo

''Tokea muda ambao Yohana alianza kuhubiri ujumbe''

ufalme wa mbinguni ni wa nguvu, na wenye nguvu huuchukua kwa nguvu

Kuna maana nyingi zinzazoweza kumaanisha katika mstari huu. 1) Watu wengine huutumia ufalme wa Mungu kwa malengo yao binafsi. na kwamba wako tayari kutumia nguvu dhidi ya watu wengine ili kutimiza hitaji hili. 2)Tafsiri zingine zingine zinatumia maana sahihi kwamba wito wa kuingia katika ufalme wa mbinguni kimekuwa ni kitu cha muhimu, kwamba watu lazima wapokee kwa kuzingatia kabisa. ili kuupokea wito na kuzuia majaribu ya kufanya uovu. 3 )Watu wenye nguvu wanawadhuru watu wa Mungu na kujaribu kumzuia Mungu asitawale.