forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.2 KiB
Markdown
36 lines
1.2 KiB
Markdown
# Sentesi unganishi:
|
|
|
|
Yesu aliendelea kuongea na umati kuhusu Yohana Mbatizaji.
|
|
|
|
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Katika mstari wa 10, Yesu anamnukuru nabii Malaki kuonyesha kuwa maisha na huduma ya Yohana imetimiza unabii.
|
|
|
|
# Lakini mliondoka kuona nini--nabii?
|
|
|
|
Yesu anatumia swali ili kuwafikirisha watu juu ya Yohana mbatizaji kuwa ni mtu wa aina gani. "Lakinini kweli kwamba mlienda jajngwani kumuona nabii"
|
|
|
|
# Lakini mlienda nje kuona nini--nabii? Ndiyo, nawaambia nyinyi.
|
|
|
|
Kiwakilishi cha wingi ''nyinyi'' inarejelea kwa katika hali zote.
|
|
|
|
# ni zaidi ya nabii
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsirika kama sentensi timilifu. "Siyo nabii wa kawaida" au ''siyo mtu wa kawaida'' au ''ni wa muhimu kuliko nabii wa kawaida''
|
|
|
|
# huyu ndiye aliye andikiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsirika katik mfumo tendaji. "Hiki ndicho nabii Malaki aliandika zamamni za kale kuhusu Yohana mbatizaji"
|
|
|
|
# namtuma mjumbe wangu
|
|
|
|
Kiwakilishi ''na'' na ''wangu'' kinamrejea Mungu. Malaki ananukuu ambacho Mungu alisema.
|
|
|
|
# mbele ya uso wako
|
|
|
|
Kiwakilishi "wako" ni cha umoja kwa sababu Mungu alikuwa anasema juu ya Masihi katika nukuu.vPia "uso" inamaanisha nafsi timilifu, "mbele yako" au "kutangulia"
|
|
|
|
# ataandaa njia yako
|
|
|
|
Hii ni sitiari inayomaanisha kuwa mjumbe atawaandaa watu kupokea ujumbe wa Masihi.
|