sw_tn/mat/10/37.md

1.8 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu sababu kutohofia dhiki itakayowapata.

Yeye ambaye ....hanistahili

Hapa "ana" anamaanisha mtu yeyote kwa ujumla. "Wale ambao ... hawastahili" au "Kama uta... haustahili"

anampenda

Neno la "upendo" hapa linamaanisha upendo wa ndugu" au "upendo kutoka kwa rafiki." "KuMjali" au "aliyejitoa kwa" mwenye kupenda"

anayestahili

"anafaa kuwa wangu" au "anastahili kuwa mwanafunzi wangu"

beba msalaba na kunifuata

"bebea msalaba wake na kunifuata" Huu ni mfano wa kuwa tayari kufa. Kubeba msalalba inamaanisha utayari wa kuteseka na kufa. "lazima anitii kiasi cha kukubali kuteseka na kufa"

beba

"chukua" au "beba na kunyanyua"

Yeye atakayetafuta...atayapoteza...yeye atakayeyapoteza...atayapata

Yesu anatumia mithali kuwafundisha wanafunzi wake. Haya yatafsiriwa kwa maneno machache kwa kadri iwezekanavyo. "Wale wanaotafuta... watayapoteza ... wale wanaoyapoteza ... watayapata" au "wakaoyapata ... uta watakaopoteza ... watapata" au "ikiwa utayapata ... utakosa ... ikiwa utayakosa...utayapata."

atayapata

Hii ni sitiari ya "kutunza" au "kuhifadhi"" jaribu kuhifadhi" au "jaribu kutunza"

atayapoteza

Hii haina maana kwamba mtu atakufa. Ni sitiari " inayomaanisha kuwa mtu hatakuwa na maisha mazuri ya kiroho na Mungu. "Hatakuwa na maisha ya kweli"

anayepoteza maisha yake

Hii haimanishi kufa. Ni sitiari Inayomaanisha mtu kumtii Yesu ni muhimu zaidi kuliko maisha yake. "ambaye anayejikana"

kwa ajili yangu

"kwa sababu ananitumaini mimi" au "kwa ajili yangu" au "kwa sababu yangu" Hili ni wazo lile lile kama "kwa ajili yangu" katika 10:6

yeye ambaye hatabeba ...hana

Tafsiri nyingine:"Wale ambao hawatabeba....sio" au "ikiwa hautabeba...wewe sio" au "endapo utakapobeba ... wewe sio

atayapata

Huu msemo maana yake "atapata maisha ya kweli"