sw_tn/mat/10/01.md

726 B

Sentensi unganishi

Hii inafungua habari ya Yesu akiwatuma wanafunzi wake wakafanye kazi yake.

akawaita wanafunzi wake kumi na wawili pamoja

"Akawaelezea wanafunzi wake 12"

akawapa mamlaka

Uwe na uhakika kwamba ujumbe unakuwa wazi kuwasilisha kwamba haya mamlaka yalikuwa 1) ni kufukuza roho chafu na 2) kuponya magonjwa na udhaifu

kuwafukuza

"kuwafanya roho wachafu waondoke"

kila aina ya magonjwa na kila aina za udhaifu

"kila ugonjwa na kila udhaifu." Maneno "ugojwa" na "udhaifu" ni kama yanakaribia kufanana lakini yanapaswa kutafsiliwa tofauti kama inawezekana. "Ugonjwa" ni kisababishi cha mtu kuwa dhaifu. "Udhaifu" ni ukosefu wa nguvu mwilini au kisababishi ambacho matokeo yake ni kuwa na ugonjwa.