sw_tn/mat/08/26.md

742 B

wao

"kwa wanafunzi"

kwa nini mnaogopa ... imani?

Yesu alikuwa anakemea wanafunzi kwa swali la kejeli. "hampaswi kuogopa...imani" au "hamna sababu ya ninyi kuogopa ....imani."

ninyi wenye imani ndogo

Angalia jinsi unavyotafsiri hii

Huyu mtu niwa namna gani, kwamba hata upepo na bahari vinamtii yeye?

"Hata upepo na bahari vinamtii yeye! Huyu mtu ni wa namna gani?" Hili swali la kejeli linaonyesha kwamba wanafunzi walishangazwa. "huyu mtu niwa tofauti na hatujawahi kumwona! hata upepo na mawimbi vinamtii yeye!"

hata upepo na bahari vinamtii yeye

Kwa watu au wanyama kutii au kutotii haishangazi, lakini kwa upepo na maji inashangaza.Hii kibinadamu inaeleza vitu asili kama viumbe vinaweza kusikia na kuitikia kama watu.