forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
883 B
Markdown
32 lines
883 B
Markdown
# kuingia ndani ya dari langu
|
|
|
|
Msemo "kuingia ndani ya dari" maana yake "nyumba yangu"
|
|
|
|
# sema neno
|
|
|
|
Hapa "neno" maana yake sema amri.AT: "toa amri"
|
|
|
|
# ataponywa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT: "atakuja kuwa mzima"
|
|
|
|
# walio chini ya mamlaka
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT:"ambaye yuko chini ya mamlaka ya mwingine"
|
|
|
|
# chini ya mamlaka...... chini yangu
|
|
|
|
Kuwa "chini" mtu inamaanisha kutokuwa na umuhimu sana na kutii agizo la mtu mwenye umuhimu zaidi.
|
|
|
|
# mwanajeshi
|
|
|
|
"mtalaamu wa kupigana"
|
|
|
|
# kweli ninawaambia
|
|
|
|
"Ninawaambia ukweli." Huu usemi unaongeza na kusisitiza kile ambacho yesu atazungumza baadae.
|
|
|
|
# sijapata kuona mtu mwenye imani kama huyu Israel
|
|
|
|
Wasikilizaji wa Yesu wangefikiri kwamba wayahudi katika Israeli, ambao wanadai kuwa ni watoto wa Mungu, watakuwa na imani kuliko yeyote. Yesu anasema hawako sahihi na kwamba imani ya jemedari ilikuwa kubwa.
|