sw_tn/mat/07/18.md

659 B

Kila mti ambao hauzai matunda mazuri utakatwa na kutupwa katika moto.

Yesu anaendelea kutumia mti wa matunda kama msemo akimaanisha manbii wa uongo. Hapa, yeye anaongelea kile kitakachotokea kwa mti mbaya. Ikimaanisha kwamba kitu hicho kitafanyika kwa manabii wa uongo.

itakatwa chini na kutupwa katika moto

Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo hai. "mtu ataukata chini na kuuchoma."

kwa matunda yao mtawatambua

Neno "yao" inaweza kurejea labda manabii au miti. Huu msemo unamaanisha kwamba matunda ya mti na matendo ya manabii yote yanafunua kuwa yaweza kuwa mabaya au mazuri. Kama ikiwezekana, unaweza kutafsiri ikimaanisha maana moja kati ya hayo'