sw_tn/mat/05/46.md

16 lines
525 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Yesu anamaliza kufundisha juu ya jinsi alivyokuja kuitimiliza sheria ya Agano la kale. Kipengere hiki kinaanzia 5:17
# Maelezo kwa ujumla
Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao kibinafsi. Matukio yote ya viwakilishi vya "mki.." na "zenu" viko katika wingi. Maswali katika mistari hii ni yale usemaji ambao pengine si lazima kujibiwa
# mkiwasalimia
Hili ni neno la jumla kwa ajili ya kuwatamanisha wasikilizaji.
# Baba
Hiki ni cheo cha muhimu cha Mungu