sw_tn/mat/05/40.md

1.2 KiB

Maelezo kwa ujumla

Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha ya watu binafsi. Viwakilishi vyote vya "wewe" na "yako" viko katika umoja kama vile amari za "mwachie," "nenda," "mpatie," na "usimwepuke," lakini waweza kuzitafsiri katika wingi.

kanzu ...joho

Hii "kanzu" ilivaliwa karibu na mwili, kama shati zito au sweta. "kanzu," hili lilikuwa la thamani zaidi kati ya haya mavazi mawili, ilivaliwa juu ya kanzu kwa ajili ya koongeza joto na pia lilitumika usiku kama blanketi.

mwachie na

"mpatie pia huyo mtu"

na yeyote

"na kama mtu," hii inamaanisha kuwa huyu ni askari wa Kirumi.

maili moja

Hizi na sawa na hatua elfu moja ambao ndiyo umbali ambao askari wa kirumi angeweza kumlazimisha kisheria mtu kubeba kitu kwa ajili yake. Kama maili moja haieleweki, basi inaweza kutafsiriwa kama "kilometa moja" au "umbali mrefu."

nenda naye

Hii inamhusu yule akulazimishaye kwenda.

nenda naye maili mbili

"uende ile maili anayokulazimisha kwenda, halafu nenda maili nyingine. kama "maili" haieleweki tumia kilometa mbili" au "mara mbili ya mwendo."

na usimwepuke yeyote

"usikatae kumpatia."hii inaweza kuelezeka kwa kutumia muundo halisi. "na umpatie"