sw_tn/mat/05/13.md

407 B

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kufundisha juu ya jinsi wanafunzi wake walivyo kama chumvi na nuru.

Ninyi ni chumvi ya dunia

Inawezekana kumaanisha 1) kama vile chumvi inavyokifanya chakula kuwa kizuri, mwanafunzi wa Yesu yampasa kuwaathiri watu wa ulimwengu ili kwamba wawe wazuri au 2) kama vile chumvi iwezavyo kutumika kwa kutunza chakula, kadhalika wanafunzi wa Yesu wawalinde watu wasiharibike