sw_tn/mat/04/05.md

1010 B

Taarifa za Jumla:

Katika mstari 6, Shetani ananukuu kutoka Zaburi ili kumjaribu Yesu.

Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini

Inaweza kuwa na maana 1) hili ni jaribu kufanya muujiza kwa ajili ya manufaa ya Yesu mwenyewe. "Kwa kuwa Mwana wa Mungu kwa kweli, unaweza kujitupa chini." Au, 2) hii ni changamoto au shtaka. "Thibitisha kuwa wewe kwakweli ni Mwana wa Mungu kwa kujitupa chini" Ni vizuri kuamini kuwa Shetani alijua kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.

Mwana wa Mungu

Hiki ni cheo cha maana ambacho kinaeleza uhusiano kati ya Mungu na Yesu.

jitupe chini

"jiachie mwenyewe hadi chini" au ruka kwenda chini"

kwa maana imeandikwa

Hii inaweza kuelezwa katika namna iliyo tendaji. "kwa maana mwimba zaburi aliandika katika maandiko" au " kwa maana inasema katika maandiko."

Ataagiza malaika wake wakutunze

"Mungu atawaagiza malaika wake wakutunze." Hii inaweza kutafsiriwa na nukuuu ya moja kwa moja. "Mungu atasema kwa malaika wake, Mlindeni."'

Watakuinua juu

"Malaika watakushika