sw_tn/mat/01/01.md

998 B

Taarifa kwa ujumla:

Mwandishi anaanza na ukoo wa Yesu ili kuonesha kwamba yeye ni mzaliwa wa mfalme Daudi na wa Ibrahimu.

Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo

Ungeweza kutafsiri hii kama sentenso kamili.

mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu

Kulikuwa na vizazi vingi kati ya Yesu, Daudi, na Ibrahimu. Hapa "mwana" humaanisha "mzaliwa" "mzaliwa wa Daudi, ambaye alikuwa mzaliwa wa Ibrahimu.

mwana wa Daudi

wakati mwingine kirai "mwana wa Daudi" hutumika kama cheo, lakini hapa inaonekana kutumika kutambulisha tu ukoo wa Yesu.

Ibrahimu alikuwa baba wa Isaka

Kuna njia mbalimbali ungeweza kutafsiri maelezo haya. Kwa namna yoyote unavyo natafsiri hapa, ingekuwa bora zaidi kuyatafsiri kwa namna ilele kwa orodha yote ya mababu wa Yesu. "Ibrahimu akawa baba wa Isaka" au "I brahimu alikuwa na mwana Isaka" au "Ibrahimu alikuwa na mwana aliitwa Isaka."

Peresi na Sera...Hesroni...Ramu

Haya ni majina ya wanaume

Peresi baba... Hesroni baba

"Peresi alikuwa baba... Hesroni alikuwa baba.