sw_tn/mal/04/01.md

726 B

tazama

"angalia" au "sikiliza" au "Uwe makini kwa kile nataka kuakuambia"

siku inakuja, ikiwaka kama tanuru

"siku ya hukumu inakuja, ni nitawahukumu watu waovu kama mkulima anavyochoma makapi na majani"

majivuno...waharifu

Tafsiri kama ulivyofanya "Kiburi" na "waharifu"

watakuwa mabua

"choma kama mimea mikavu"

Siku inayokuja itawachoma wote

"katika siku hiyo nitawachomawote"

sitaacha mzizi wala tawi

"hakuna kitakachobaki'

Jua la wenye haki litawainukia likiwa na uponyaji katika mbawa zake

Hii inaweza ikawa 1) Bwana, ambaye siku zote hutenda haki, atakuja na kuwaponya watu waokatika siku hiyo au 2) katika siku hiyo Bwana atajidhihirisha kwa watu wake wenye haki na kuwaponya.

mbawa

mbawa