sw_tn/mal/03/10.md

249 B

zaka kamili

"Zaka zote"

nyumba yangu

"hekalu langu"

Nijarinuni sasa katika hili...kama sitafungua kwa ajili yenu madirisha ya Mbinguni

"Kama mtanijaribu...Nitafungua madirisha ya mbinguni"

nitamkemea alaye

nitazuia wadudu na magonjwa