sw_tn/mal/03/01.md

759 B

Nani atavumilia siku ya kuja kwake? na nani atasimama akionekana?

"Kwa hakika hakuna hata mmoja atakayekuwa na uwezo wa kumsaidia Bwana.

Kwa kuwa n yeye ni kama asafishaye kwa moto na kama sabuni ya kufulia.

Mungu analinganisha uwezo wake wa kutawala watu na kuwasafisha kutoka dhambini kwenda kwenye sabuni yenye nguvu kusafisha au nguvu ya moto unavyoyeyusha kitu. hii ni njia nyingine ya kusema kuwa Nguvu ya Mungu ya kufanya kitu haizuiliwi.

na atawasafisha wana wa Lawi

"na atawakusanyana kuwasafisha wana wa Lawi kutoka dhambini"

atawaboresha na kuwa kama dhahabuau shaba

Mungu ataondoa thambi kutoka kwa walawi na kuwafanya kuwa safi zaidi.

na wataleta sadaka ya haki kwa Bwana

"Na wataleta sadaka ya ibada iliyokubalika kwa Bwana"