sw_tn/mal/02/10.md

829 B

Sisi sote hatuna baba mmoja? Hatuna Mungu mmumbaji mmoja?

"haya Maswali ni kuonyesha kukemea. "Sisi sote kwa hakika tunaye baba mmoja, Mungu wetu aliyetuumba sisi!"

Kwa nini tuna hila kila mmoja na ndugu yake, na kulikufuru agano la baba zetu?

hii pia ni kukemea. Hatupaswi hakika kuwatendea ndugu zetu na kutokuheshimu agano la Mungu na kutotii amri zake!"

mnafanya hila

kutomtii Mungu

Kwa ajili ya Yuda ameliharifu mahali patakatifu pa Bwana

"Wanaume wa Yuda hawakutii hekalu la Mungu"

na ameoa binti wa mungu mgeni

"na wameoa wanawake kutoka katika mataifa yanayoabudu miungu."

kila ukoo wa mtu ambaye amefanya haya

"Kila watoto na wajukuu wa mtu yeyote aliyefanya haya"

hata mmoja aliyeleta sadaka kwa Bwana wa majeshi

"hata kama mtu wa dhambi akileta sadaka kwa Mungu lakini hakutubu dhambi zake"