sw_tn/mal/01/08.md

24 lines
853 B
Markdown

# Unapotoa wanyama vipofu kwa ajili ya kuteketezwa, huo sio uovu?
mnajua vizuri sana kuwa ni dhambi kutoa wanyama vipofu kwa ajili ya sadaka ya kutekezwa.
# Na mtakapotoa vilivyo vilema na vigonjwa, hiyo siyo uovu?
Na mnajua vizuri sana kwamba ni dhambi kutoa vilivyo vilema na vigonjwa!"
# Toa zawadi kwa watawala wenu; atawakubali au atawahurumia tu?
Hamwezi kutoa zawadi mbele ya watawala wenu! kama mlifanya, mnajua kabisa hawezi kukubali au kuwahurumia.
# Zawadi
kutoa kama zawadi kuonyesha heshima
# Na sas,... ni neema kwetu
Malaki hazungumzii kwa ajili ya Mungu. Anazunguza moja kwa moja kwa wasraeli.
# Pamoja sadaka ya namna hii kwa sehemu yenu, atapokea aina yeyote?
"Unapotoa kile kisichoruhusiwa, Mungu atafurahishwa na ninyi?" hii ni kukemea. "Kama utatoa sadaka iliyokataliwa Mungu hakika Mungu hatakuwa na furaha na ninyi!"