sw_tn/luk/24/50.md

253 B

Ikatokea

"Ilitokea"

alipokuwa akiwabariki

"wakati Yesu alipokuwa anamuomba Mungu kuwatendea mema"

akabebwa

Kwa sababu Luka haelezei kiuwazi nani alimbeba Yesu kwenda juu, hatujui kama alikuwa Mungu mwenyewe au malaika mmoja au malaika wengi.