forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.1 KiB
Markdown
32 lines
1.1 KiB
Markdown
# Maelezo yanayounganisha.
|
|
|
|
Yesu alimaliza kuwajibu Masadukayo.
|
|
|
|
# Lakini wafu wanafufuliwa, hata Musa alionyeshwa.
|
|
|
|
Neno "hata" lipo hapo kwa sababu Masadukayo hawakushangazwa na baadhi ya maandiko kuwa wafu wanafufuliwa, ila hawakutegemea kama Musa angeandika kitu kama hicho. "Lakini hata Musa alionyeshwa kuwa wafu wanafufuliwa"
|
|
|
|
# Mahali panapohusu kichaka
|
|
|
|
"kwenye sehemu ya maandiko ameandika kuhusu kichaka kinachowaka moto" au "kwenye maandiko kuhusu kichaka kinachowaka moto"
|
|
|
|
# Alipomuita Bwana
|
|
|
|
Ambapo Musa alimuita Bwana
|
|
|
|
# Mungu wa Ibrahimu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo
|
|
|
|
"Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo" walimuabudu Mungu huyuhuyu.
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Neno hili limetumika kuonesha ukomo wa mafundisho makuu. hapa Yesu anaelezzea namna ambavyo simulizi hii inathibitisha kuwa watu wanafufuliwa.
|
|
|
|
# Sio Mungu wa waliokufa bali wa waliohai
|
|
|
|
Sentensi hizi zina maana moja lakini ni mbili kwa ajili ya kusisitiza. Lugha nyingine zina namna tofauti ya kuonyesha msisitizo. " Bwana ni Mungu wa walio hai katika uzima wa milele"
|
|
|
|
# Kwa sababu wote wanaishi kwake
|
|
|
|
"kwa sababu kwenye macho ya Mungu wote wapo hai." "kwa sababu Mungu anajua ruho zao zipo hai"
|