forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
455 B
Markdown
12 lines
455 B
Markdown
# Kisha Yesu akamwona alivyohuzunika sana
|
|
|
|
Kifungu hiki hakipo kwenye maneno mengi ya Kigiriki na mara kadhaa huondolewa kwenye tafsiri za kiingereza.
|
|
|
|
# Ngamia kupita katika tundu la sindano
|
|
|
|
Haiwezekani ngamia kuenea katika tundu la sindano. Kwa hiyo Yesu alitumia mafumbo kuonyesha ni jinsi gani ilivyo ngumu kabisa kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.
|
|
|
|
# Tundu la sindano
|
|
|
|
Tundu la sindano ni shimo katika sindano ya kushonea ambapo uzi hupita.
|