forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
319 B
Markdown
16 lines
319 B
Markdown
# Unganisha maelezo
|
|
|
|
Yesu anaendelea kuzungumza na Mfarisayo aliyemwalika nyumbani kwake.
|
|
|
|
# nawe utakuwa heri
|
|
|
|
AT"'Mungu atakubariki"
|
|
|
|
# hawawezi kukulipa
|
|
|
|
AT "hawawezi kuwakaribisha karamu katika kurudi"
|
|
|
|
# maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki
|
|
|
|
AT "Mungu atakulipa wakati yeye huleta watu wema nyuma ya maisha"
|