forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
523 B
Markdown
12 lines
523 B
Markdown
# haujali...peke yangu?
|
|
|
|
Martha alaikuwa analalamika kuwa Bwana alimruhusu Mariamu aketi amsikilize wakati kulikuwa na kazi nyingi za kufanya. Alimuheshimu Bwana, ndo maana alitumia swali la kejeli kufanya malaliko yake kuwa ya upole.AT: "inaonekana hujali..pekeyangu."
|
|
|
|
# Martha, Martha
|
|
|
|
Yesu arudia rudia jian la martha kuonesha msisitizo. AT: "Mpendwa Martha" au "wewe Martha."
|
|
|
|
# ambacho hakitachukuliwa kutoka kwake
|
|
|
|
Inaweza maanisha 1) " Sitachukua fursa yake" au "2) "Hatapoteza alichopatakwa sababu ananisikiliza."
|