forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
658 B
Markdown
24 lines
658 B
Markdown
# Sentensi kiunganishi
|
|
|
|
Siku nane baada ya Yesu kuwaambia kuwa baadhi hawatakufa kabla ya kuuona ufalme wa Mungu, Yese anaenda mlimani kuomba pamoja na Petro na Yohana ambao walilala wakati Yesu anabadilika muonekano .
|
|
|
|
# Ikatokea
|
|
|
|
Hii sentenso imetumika hapa kuashiria tukio muhimu katika hadithi. Kama lugha yako ina namna nzuri ya kufanya hivi, unaweza kufikria kuitumia hapo.
|
|
|
|
# siku nane
|
|
|
|
"siku 8"
|
|
|
|
# maneno haya
|
|
|
|
Hii inaashiria Yesu alisema kwa wanafunzi wake kwenye mistari inayoendelea.
|
|
|
|
# juu ya mlima
|
|
|
|
Haiko wazi ni juu kiasi gani walienda. AT: "pembeni mwa mlima"
|
|
|
|
# meupe na ya kung'aa
|
|
|
|
"nyeupe ya kung`aa na kali" au "nyeupe kali na ya kung`aa"
|