forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
1.1 KiB
Markdown
24 lines
1.1 KiB
Markdown
# bingilisha gombo
|
|
|
|
gombo lilikuwa limefungwa kwa kubingilishwa kama bomba kutunza kile kilichoandikwa ndani yake.
|
|
|
|
# mhudumu
|
|
|
|
Hii inarejea kwa mtumishi wa sinagogi ambaye alileta na kutunza kwa uangalifu and unyenyekevu gombo linalobeba maandiko.
|
|
|
|
# yalikuwa yamekazwa kwake
|
|
|
|
Lahaja hii inamaanisha "yalikuwa yameelekezwa kwake" au "walitazama kwa makini kwake"
|
|
|
|
# maandiko haya yametimizwa mkiwa mnasikiliza
|
|
|
|
Yesu alikuwa anasema hivyo kutimiza unabii kwa vitendo na hotuba kwa wakati wake kabisa. Hii inaweza ikaelezwa katika kauli tendaji. NI: "Sasa hivi ninatimiza inatimiza ambacho maandiko yalisema mnaponisikiliza sasa"
|
|
|
|
# shangazwa na maneno ya neema ambayo yalikuwa yanatoka katika kinywa chake
|
|
|
|
"lipigwa butwaa na vitu vya neema alivyokuwa akivisema." Hapa "aneema" inaweza kuerejea 1) ubora au jinsi ya ushawishi aliozungumza Yesu, au 2) kwamba Yesu alizungumza maneno kuhusu neema ya Mungu.
|
|
|
|
# Huyu si ni mwana wa Yusufu?
|
|
|
|
Watu walifikiri kwamba Yusufu alikuwa baba wa Yesu. Yusufu hakuwa kiongozi wa dini, hivyo walishangaa kwamba mtoto wake atahubiri kiasi hicho. NI: "Huyu ni mwana wa Yusufu tu!" au "Baba yake ni Yusufu tu!"
|