forked from WA-Catalog/sw_tn
670 B
670 B
Kauli Unganisha:
Zakaria anasema kilichotokea kwa Yohana mtoto wake.
Zakaria Baba yake alikuwa kajazwa na Roho Mtakatifu
Hii inaweza kusemwa kwenye mtindo wa kutendea. NI: "Roho Mtakatifu alimjaza Zakaria baba yake."
Baba yake
baba wa Yohana
alitoa unabii, akisema
fikiria njia za asili za kuanza kunukuu moja kwa moja katika lugha yako. NI: "alitoa unabii na alisema" au "alitoa unabii na hiki ndicho alichokisema"
Mungu wa Israeli
"Israeli" hapa anarejea kwa taifa la Israeli. Uhusiano kati ya Mingu na Israeliungelisemwa moja kwa moja. NI: "Mungu ambaye anatawala juu ya Israeli" au "Mungu ambaye Israeli anamwabudu."
watu wake
"watu wa Mungu"