forked from WA-Catalog/sw_tn
449 B
449 B
kuzishika amri zangu na kuzifuata
Yale maneno "Shika"na "fuata" humaanisha kitu kilekile. Nayo husisitiza kwamba ni lazima watu watii ammri za Mungu, : "tii amri zangu"
2Msiliabishe jina langu takatifu
Neno "jina" hapa humwakilisha Yahweh mwenyewe na sifa zake njema. : "msiniabishes mimi Au "msiiabishe sifa yangu njema"
Ni lazima nitambuliwe kuwa ni mtakatifu na watu wa Israeli
: "Watu wa Israeli wanitambue kwamba mimi ni mtakattifu"