forked from WA-Catalog/sw_tn
423 B
423 B
atakua chukizo
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa mmchukie" au "yapasa mkatae"
Taariifa kwa Ujumla
Yahweh anaendele kuwaambia Musa na Aroni ni wanyama gani ambao watu waahesabu najisi
hatakuwa wa kuliwa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Haipasi kumla"
watakuwa machukizo.
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yawapasa kuwachukia" au "Lazima muwakate"