forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
551 B
Markdown
12 lines
551 B
Markdown
# Kisha Yahweh akazungumza na Musa, akisema, "Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'hamruhusiwi kula mafuta
|
|
|
|
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja yaweza kutamkwa kama nukuu taarifa yenyekutajwa. "Kisha Yahweh na akamwambia Musa kumbia kuwaambia watu wa Israeli kwamba: "Hamtakula mafuta"
|
|
|
|
# afaye peke yake bila ya kuwa dhabihu
|
|
|
|
"aliyekufa peke yake lakini hakuwa dhabihu"
|
|
|
|
# mafuta ya mnyama yeyote aliyeraruliwa na wanyama pori
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "mafuta ya mnyama yule ambaye mnyamapori alimuua"
|