forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
543 B
Markdown
16 lines
543 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Musa anaendelea kuwaambia watu kile ambacho Yahweh anataka wao wafanye.
|
|
|
|
# mbele za Yahweh
|
|
|
|
"katika uwepo wa Yahweh" au "kwa Yahweh"
|
|
|
|
# Ataweka mikono yake
|
|
|
|
Hili ni tendo la kiishara ambalo humfananisha mtu na mnyama anayemtoa. Katika njia hii mtu huyo anajitoa mwenyewe kwa Yahweh kwa kupitia mnyama. Tazama lilivyotafsiriwa katika sura ya 1:3
|
|
|
|
# wana wa Aroni watainyunyiza damu yake
|
|
|
|
Inaashiria kwamba kabla hawajainyunyiza damu ,waliikinga kwanza hiyo damu katika bakuli walipokuwa akiichuruzisha kutoka kwa Munyama.
|