sw_tn/lam/05/05.md

267 B

Hao wanakuja kwetu

Jeshi la wa Babilonia.

Tumejitoa kwa

"tumefanya maridhiano na" au "tumejisalimisha kwa"

tupate chakula cha kutosha

"ili tuwe na chakula cha kutosha kula"

hawapo tena

"wamekufa"

tumebeba dhambi zao

"tunabeba adhabu ya dhambi zao"