sw_tn/lam/03/58.md

426 B

ulitetea kesi yangu

Hii yatoa picha ya mahakama, ambapo mwandishi anashitakiwa. Katika hii picha, Mungu anamtetea, kama wakili anavyo mtetea mteja wake.

hukumu kesi yangu

Hapa Mungu haendelei kuonekana kwenye picha kama wakili, lakini kama mtoa hukumu.

matusi yao, mipango yao yote dhidi yangu

Hii mistari miwili ina shiriki maana moja na imewekwa pamoja kwa mkazo.

Umesikia dhihaka yao

"Umesikia wakinikejeli"