sw_tn/lam/03/30.md

239 B

Maelezo ya Jumla

Mwandishi anaongea juu ya yeye anaye msubiri Yahweh 3:25

Acha atoa shavu lake kwa yeye anaye mpiga

"Acha aruhusu watu wampige"

japo anatia

"japo Yahweh anasababisha"

watoto wa mwanadamu

"wanadamu" au "watu"