sw_tn/lam/02/18.md

817 B

Mioyo yao ikamlilia

Maana inayo wezekana ni 1) "Watu wa Yerusalemu wamepiga kelele kutoka kwenye vilindi vyao" au 2) mwandishi anataka kuta zipaze sauti kwa Yahweh.

kuta za binti wa Sayuni ... kila mtaa

Mwandishi anaongea na kuta za Yerusalemu. Anataka watu wa Yerusalemu kufanya anacho ambia kuta zifanye.

binti wa Sayuni

Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo hapa la zungumziwa kama ni mwanamke.

Fanya machozi yako kutiririka chini kama mto

"kulia machozi mengi"

usiku na mchana

"wakati wote"

Usijipatie hauweni

"Usijiruhusu upumzike"

mwanzo usiku wa manane

"mara nyingi wakati wa usiku" hiyo ni kwamba, mlinzi anapo kuja kulinda

Nyoosha juu mikono yako

Hili ni tendo linalo fanywa wakati wakuomba.

kwenye njia ya kila mtaa

"pale njia zinapo kutana" au "kwa barabarani"