sw_tn/lam/02/11.md

486 B

Maelezo ya Jumla

Mwandishi anatoka kuelezea Yerusalemu na kueleza mapito yake.

Macho yangu yamekaukiwa machozi yake

"Nimelia hadi siwezi kulia tena"

sehemu zangu za ndani zimemwagika chini

"sehemu yangu ya ndani ipo katika uzuni"

kwasababu ya uharibifu wa binti wa watu wangu

"binti wa watu wangu" ni jina la kishairi la Yerusalemu,ambalo hapa la zungumziwa kama mwanamke.

Mbegu ziko wapi na mvinyo?

Maneno "mbegu ba mvinyo" ni namna ya kusema "chakula na kinywaji."