sw_tn/lam/01/13.md

233 B

alipo tuma moto kwenye mifupa yangu na umenishinda

"ametuma adhabu kali ndani yangu, na imeniharibu" au "ametuma adhabu mbaya katikati ya Yerusalemu, na imeharibu mji"

amenikabidhi mikononi mwao

"acha maadui zangu wanishinde"