sw_tn/lam/01/11.md

755 B

hazina

"utajiri"

kurejesha uhai wao

"kuokoa uhai wao" au "kurejesha uweza wao"

Tazama, Yahweh, ni kumbuke mimi

Hapa Yerusalemu anaanza kuongea moja kwa moja na Yahweh.

Sio kitu kwako, wote mnao pita?

Hili ni shitaka la watu wanao pita Yerusalemu na hawaijali.

Sio kitu kwako

Hapa Yerusalemu anaendelea kuongea, lakini sasa kwa watu wanaopita.

Angalia na uone kama kuna mtu mwenye uzuni kama uzuni ninao teswa nao

Hii maana hapa inaelezea kuwa hakuna mtu aliye teseka kiasi hichi.

Angalia na uone

Haya maneno yana maana moja. Pamoja yana mkaribisha msomaji kuelewa kwa kuona kwamba hakuna mtu aliye teseka sana.

uzuni ninao teswa nao

"uzuni Yahweh anayo ni tesa nayo"

siku ya hasira yake kali

"Alipo kuwa na hasira kali"