sw_tn/lam/01/01.md

553 B

kama mjane

Haya maneno yana fananisha Yerusalemu na mwanamke asiye kuwa na ulinzi sababu mume wake amefariki.

Alikuwa mtoto wa mfalme miongoni mwa mataifa

"Matifa mengine yali heshimu Yerusalemu kama yalivyo muheshimu binti wa mfalme"

amelazimishwa utumwani

"amefanywa kuwa mtumwa"

Analia na kuomboleza

Mwanandishi anaelezea Yerusalemu kama mwanadamu mwenye hisia. Mji pia una wakilisha wakazi wake. "Wao wanao ishi humo wanalia na kuomboleza."

lia na kuomboleza

Neno "kuomboleza" lina husu sauti mtu anayo toa anapo "lia" kwa nguvu.