forked from WA-Catalog/sw_tn
553 B
553 B
kama mjane
Haya maneno yana fananisha Yerusalemu na mwanamke asiye kuwa na ulinzi sababu mume wake amefariki.
Alikuwa mtoto wa mfalme miongoni mwa mataifa
"Matifa mengine yali heshimu Yerusalemu kama yalivyo muheshimu binti wa mfalme"
amelazimishwa utumwani
"amefanywa kuwa mtumwa"
Analia na kuomboleza
Mwanandishi anaelezea Yerusalemu kama mwanadamu mwenye hisia. Mji pia una wakilisha wakazi wake. "Wao wanao ishi humo wanalia na kuomboleza."
lia na kuomboleza
Neno "kuomboleza" lina husu sauti mtu anayo toa anapo "lia" kwa nguvu.