sw_tn/jud/01/24.md

714 B

sentensi unganishi

Yuda anafunga na baraka

kuwasababisha msimame mbele ya utukufu wake

Utukufu wake ni taa nzuri yenye kuwakilisha ukuu wake. "Na kukuruhusu kufurahia na kuabudu utukufu wake"

bila mawaa

Hapa dhambi ya tajwa kama uchafu kwenye mwili wa mtu au doa kwenye mwili wa mtu. "Utakapo kuwa bila dhambi"

kwake Mungu pekee mwokozi kupitia Yesu Kristo Bwana wetu

"kwa Mungu pekee, aliye tuokoa kwa lili Yesu Kristo alilifanya." Hii ya sisitiza kuwa Mungu baba pamoja na Mwana ndie Mwokozi.

utukufuu uwe kwake, ukuu, uwezo na nguvu kabla ya nyakati zote, na sasa na hata milele. Amina.

Mungu alikuwa nao, na anao, na siku zote atakuwa na utukufu, uongozi kamilifu, na utawala wa mambo yote.