sw_tn/jud/01/22.md

483 B

baadhi ya watu, ambao wako katika mashaka

"baadhi ya watu, ambao bado hawajaamini kuwa Mungu ni Mungu"

wanyakueni kutoka katika moto

"ili kwamba wasije wakaenda kwenye ziwa la moto"

na kwa baadhi yao onesheni huruma kwa hofu

"na muwe wakarimu kwa wengine bali ogopeni kutenda dhambi kama wao."

mkichukia hata vazi lililotiwa doa na mwili

"chukieni hata mavazi yao, kwa sababu yamefayika kuwa machafu kwa dhambi." Wamejaa dhambi hivyo hata mavazi yanafikiriwa machafu.