sw_tn/jud/01/20.md

594 B

sentensi unganishi

Yuda anawambia waamini jinsi ya kuishi na namna ya kuwa tendea wengine.

kama mjijengavyo wenyewe

Kama muwezavyo kukua imara na afya njema, ili kwamba muweze kuimarika na kukua fahamu zenu na roho katika maarifa ya Mungu

msubiri

"tunatazamia kwa shauku"

jitunzeni katika upendo wa Mungu

Kuweza ;kupokea upendo wa Mungu ya zungumziwa kama vile mtu amejihifadhi sehemu.

rehema za Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele

Hapa "rehema" ya wakilisha Yesu Kristo mwenyewe, ambaye atawaonyesha rehema zake kwa waaamini kwa kuwafanya wa ishi milele