sw_tn/jud/01/14.md

555 B

watu hawa...kazi yao...wana

Hawa inarejea kwa watu waovu.

wa saba katika orodha ya Adamu

Kizazi cha saba kutoka kwa Adamu. Baadhi ya tafsiri husema sita katika orodha ya Adamu inategemeana kama Adamu anahesabika kama kizazi.

Tazama, Bwana

"taarifa, Bwana", au "tazama, bwana"

mambo yote magumu

"maneno yote makali"

manung'uniko, walalamikao

Watu walio na moyo usio na utii. Wanung'unikao huwa wanafanya hivi kimya kimya, Walalamikao hufanya hivi kwa uazi zaidi.

wajivunao mno

Watu wanao jisifu wenyewe ili kwamba wengine wawasikie.