sw_tn/jud/01/07.md

586 B

katika namna ileile walijiingiza wenyewe kwenye

Sodoma na Gomora waliishi katika dhambi ya zinaa katika namna hihyo hiyo kama malaika walivyo fuata njia za uovu.

kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele

Uharibifu wa watu wa Sodoma na Gomora ulifanyika mfano wa hatima ya wote wanao mkataa Mungu.

hawa pia walichafua

"Hawa" ina rejea kwa watu wanaomkataa Mungu ambao huchafua miili yao kwa uasherati kwa namna hiyo wakitupa takataka kwenye mkondo inaweza kusababisha maji kuwa mabaya kunywa.

kuhusu wenye utukufu

"kuhusu malaika wazuri wa Mungu"