sw_tn/jud/01/03.md

1.1 KiB

kauli unganishi

Yuda anawapa waamini sababu yake ya kuandika hi barua

maelezo ya jumla

Neno "sisi" la muhusu yuda na waamini katika hii barua

Nilikuwa nafanya kila juhudi kuwaandikia ninyi

"Nilikuwa na shauku ya kuwaandikia ninyi"

wokovu wa kawaida

"tunashiriki wokovu uleule"

Ilinilazimu kuandika

"Nilijisikia uhitaji mkubwa kuandika" au "Nilijisikia hitaji muhimu kuandika"

kuwahimiza mshindanie kwa uaminifu kwa ajili ya imani

"kuwatia moyo kutetea mafundisho ya kweli"

kabidhiwa

Mungu alitoa mafundisho haya ya kweli"

kwa sababu watu fulani wamejiingiza kwa siri

"kwa kuwa baadhi ya watu wamekuja miongoni mwa walioamini pasipo kujijulisha wenyewe"

ambao hukumu yao ya dhambi ilikwisha andikwa tangu zamani

"zamani sana iliandikwa kwamba watu hawa watahukumiwa dhambi"

ambao hubadilisha neema ya Mungu kuwa zinaa

"ambao hufundisha kwamba neema ya Mungu inaruhusu mtu kudumu katika maisha ya dhambi ya zinaa"

ambao humkataa Mkuu wetu wa pekee na Bwana, Yesu Kristo

watu hawa hufundisha kwamba Yesu Kristo sio njia ya kweli au pekee ya kwenda kwa Mungu.

Kataa

kusema kwamba jambo fulani si kweli.