sw_tn/jud/01/01.md

713 B

maelezo ya jumla

Yuda anajitambulisha kama mwandishi wa hii barua na anawasalimu wasomaji wake. Yawezekana alikuwa kaka yake Yesu wakambo. Kuna Yuda wengine wawili katika Agano Jipya.

maelezo ya jumla

Neno "wewe" katika hii barua ya husu waKristo ambao Yuda alikuwa akiwandikia na ni katika wingi.

Yuda, mtumishi wa

Yuda ni kaka wa Yakobo. Tafsiri mbadala: "Mimi ni Yuda, mtumishi wa."

Na kaka yake na Yakobo

Yakobo na Yuda ni nusu kaka wa Yesu

wapendwao katika Mungu Baba

"Mungu baba anawapenda ninyi"

huruma na iwe kwenu na amani izidishwe

"kwenu" ina rejea kwa Wakristo wote waliopaswa kupokea barua hii.Tafsiri mbadala: "huruma, neema na upendo na uongezwe mara nyingi kwa ajili yenu."